Wananchi wana hasira na serikali yao,kwa kutumia mabilioni ya pesa kujenga uwanja wa soka,badala ya kujenga makazi ya wananchi
Baadhi ya wakazi 4800 wasio na makazi wametengeneza kambi karibu na uwanja wenye thamani ya Dola milioni 350,katika jiji la Sao Paulo wakidai kujengewa nyumba.
|
No comments:
Post a Comment