Saturday 23 August 2014

"WANANCHI WANA HASIRA KWA PESA ZINAZOTUMIKA KUJENGA UWANJA WA SOKA BADALA YA KUJENGA MAKAZI"

Wananchi wana hasira na serikali yao,kwa kutumia  mabilioni ya  pesa kujenga uwanja wa soka,badala ya kujenga makazi ya wananchi

Baadhi ya wakazi 4800 wasio na makazi wametengeneza kambi karibu na uwanja wenye thamani ya Dola milioni 350,katika jiji la Sao Paulo wakidai  kujengewa nyumba.


















No comments:

Post a Comment