Baadhi ya wabunge na Mawaziri wakionekana kusinzia kwenye mkutano muhimu kujadili maswala nyeti...!!
Swala la Mawaziri na wabunge nchini Uganda ambao kamera iliwanasa wakiwa wamesinzia kwenye mkutano muhimu limezua mjadala miongoni mwa wananchi wa Uganda,ikionesha wazi kwamba wawakilishi hao wa wananchi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.Kutoka kampala.....
|
No comments:
Post a Comment