Friday 8 August 2014

WANANCHI WA UGANDA WAKASIRISHWA KUFUATIA MAWAZIRI WAKE KULALA KATIKA MIKUTANO MUHIMU

Baadhi ya wabunge na Mawaziri wakionekana kusinzia kwenye mkutano muhimu kujadili maswala nyeti...!!

Swala la Mawaziri na wabunge nchini Uganda ambao kamera iliwanasa wakiwa wamesinzia kwenye mkutano muhimu limezua mjadala miongoni mwa wananchi wa Uganda,ikionesha wazi kwamba wawakilishi hao wa wananchi hawatekelezi wajibu wao ipasavyo.Kutoka kampala.....



No comments:

Post a Comment