Saturday 23 August 2014

"UONGO KUHUSU KUPUNGUZA UMASKINI WAANIKWA"

Kampeni ya maendeleo ya Milenia imetangaza kwamba umaskini duniani umepunguzwa kwa nusu ya matarajio kuelekea 2015.

Busara zinazokuja  kutoka kila upande:Viwango vya umaskini vinapungua na umaskini uliopindukia utakomeshwa muda si mrefu.Benki ya Dunia,Serikali ya nchi Matajiri na zaid ya yote kampeni  za milenia za Umoja wa mataifa wote wanakubaliana na wazo hili.Muwe watulivu,ndivyo wanavyotuambia.


Ni hadithi ya kuliwaza,lakini kwa bahati mbaya haina ukweli.Umaskini hautokomei kwa kasi kama inavyozungumzwa.Kinyume chake,kutokana na baadhi ya vipimo,umaskini umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa sana inayotisha.




No comments:

Post a Comment