Sunday 10 August 2014

''AJALI YA NDEGE IRAN YAUA WENGI NCHINI IRAN''

Hivi ndivyo inavyoonekana baada ya ndege kuanguka muda mfupi baada ya kuruka uwanja wa  ndege Mehrabad.
Abiria wote 48 waliokuwapo kwenye ndege hiyo ya Iran wameripotiwa kufa baada ya ndege hiyo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Tehran,Televisheni ya Taifa imeripoti.Ndege hiyo ilianguka muda mfupi baada tu ya kuruka uwanja wa ndege Mehrabad.Ikiwa chanzo cha ajali kinatajwa kuwa ni kushindwa kwa injini.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA>>>

No comments:

Post a Comment