Friday 25 July 2014

NATENGENEZA ZAIDI YA MILION 50,UFUGAJI WA KUKU NA NGURUWE


Nikiwa natembea kando ya barabara kando kando ya barabara ya Saza mjini Iganga,nilisikia kundi la waendesha boda boda wakimuongelea Prof.Mmoja anaefuga Kuku na Nguruwe.Nikajikuta nimevutiwa na mazungumzo yao.Niliguswa na namna walivyokuwa wakitazama kazi ile kama ya Aibu na Mbaya  kabisa kwa mtu wa nafasi ile kujihusisha na ufugaji.

KWA HABARI ZAIDI INGIA HAPA

No comments:

Post a Comment