Nikiwa natembea kando ya barabara kando kando ya barabara ya Saza mjini Iganga,nilisikia kundi la waendesha boda boda wakimuongelea Prof.Mmoja anaefuga Kuku na Nguruwe.Nikajikuta nimevutiwa na mazungumzo yao.Niliguswa na namna walivyokuwa wakitazama kazi ile kama ya Aibu na Mbaya kabisa kwa mtu wa nafasi ile kujihusisha na ufugaji.
KWA HABARI ZAIDI INGIA HAPA
No comments:
Post a Comment