Sunday 3 August 2014

MAN U YAUA 3-1 REAL MADRID,YOUNG AKITUPIA 2


Man United wametembeza kichapo hicho mbele ya mashabiki  109,318 walio jitokeza kushuhudia  kushuhudia kipute hicho.Magoli mawili ya Ashley Young na Moja kutoka kwa Javier Hernandez,yanampa Van Gaal ushindi wa nne kwenye ziara ya US.Man U itakutana na Liverpool siku ya jumatatu.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment