Man United wametembeza kichapo hicho mbele ya mashabiki 109,318
walio jitokeza kushuhudia kushuhudia kipute hicho.Magoli mawili ya Ashley Young na Moja kutoka kwa Javier Hernandez,yanampa Van Gaal ushindi wa nne kwenye ziara ya US.Man U itakutana na Liverpool siku ya jumatatu.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA
No comments:
Post a Comment