Saturday 19 July 2014

KUTANA NA KIJANA ALIYEAMUA KUJIHUSISHA NA KILIMO CHA MATIKITI





Pamoja na kazi ya ufugaji aliyoifanya kwa muda mrefu,anasema alichoshwa na kusubiri chakula cha msaada kutoka Serikalini hasa msimu ambao mvua zinasumbua.
  ''Kuna siku tumeshinda bila kula kwa sababu tulikosa chakula.Ilibidi tuhame hapa na pale ili kutafuta  chakula chetu na pia kulisha  mifugo yetu,lakini tangu tukaribishe kilimo,tumetatua tatizo''.Kwa mwezi Muhammed anapata Kshs 20,000 kwa kuuza Matikiti na Ndizi.Lakini anaongeza kwa kusema ''Unyonyaji kutoka kwa madalali,wadudu waharibifu na upungufu wa wataalamu wa kilimo ni kati ya changamoto wanazokumbana nazo..
     INGIA HAPA KWA HABARI ZAIDI

No comments:

Post a Comment