Sunday 31 August 2014

"LIVERPOOL YAUA 3 DHIDI YA TOT"




















Brendan Rogers ameiongoza timu yake kushinda dhidi ya Tottenham,huku akifikisha mechi ya 100 tangu kuanza kuwa kocha wa Liverpool ndani ya White Hart Lane.Sterling aliyefungua pazia kwa kuifungia goli la kwanza dakika ya 8,huku Gerad akifunga kwa penat katika dakika ya 49,na Moreno alimalizia kwa kufunga goli la 3.
                          KWA HABARI ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment