Friday 5 September 2014

"GOLI KIPA ALIYEINGIA KWENYE KITABU CHA GUINESS,HUYU SI MWINGINE NI ASMIR BEGOVIC"






















Huyo si mwingine bali mlinda mlango wa timu ya Stoke City Asmir Begovic,ambaye jina lake limefanikiwa kuandikwa katika kitabu cha rekodi za dunia cha Guiness baada ya kufunga goli la mbali sana.Alifunga goli hilo kwenye mechi iliyopigwa mwezi Novemba mwaka jana kati ya Stoke City na Southampton iliyoisha kwa suluhu ya 1-1,Alifunga goli hilo akiwa umbali wa mita 91.9 toka lango la wapinzani.

                                   KWA HABARI ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment