Wafanyakazi wa hospitali wamesambazwa kuwaeleza wananchi namna watakavyojilinda dhidi ya Ebola |
Akiongea katika mkutano ulioshirikisha viongozi wa kanda mbalimbali kwamba kushindwa kuzuia Ebola itakua ''JANGA'' hasa kutokana na Vifo.Hata hivyo amesema kirusi hicho,ambacho kimeshapoteza uhai wa watu 728,wa Guinea,Liberia na Sierra Leone tangu mwezi Februari mwaka huu,kinaweza kuzuiwa kama hatua madhubuti zitachukuliwa
KWA HABARI ZAIDI....
No comments:
Post a Comment