Panya wanaotegwa kutoka mashamba ya mpunga,inafikiriwa kuwa ni bidhaa adimu nchini Cambodia.
Mavuno ya kipekee yanayoendelea kwenye mashamba ya mpunga nchini Cambodia ambapo makumi elfu ya panya pori wanategwa wakiwa hai kila siku,huku wakisafirishwa kwenda nje ya nchi hiyo.
LADHA YAKE NI SAWA NA KITIMOTO
Baadhi ya watumiaji wa nyama hiyo ya panya wanasema inafanana na ladha ya nyama ya Nguruwe,maarufu kama Kitimoto kama inavyotambulika katika baadhi ya maeneo mengi ya nchini Tanzania.
|
No comments:
Post a Comment