Sunday 3 August 2014

TETEMEKO LA ARDHI CHINA LAUA MAMIA JIMBONI Yunnan


Inakadiriwa zaidi ya watu 367 wamefariki huku wengine 1300 wakiwa wamejeruhiwa na tetemeko lenye ukubwa wa Richta 6.1 Kusini-Magharibi mwa China.Television  ya Taifa ya China imesema hili ni tetemeko kubwa kutokea tangu miaka 14 iliyopita.
KWA HABARI ZAIDI>>>>

No comments:

Post a Comment