TETEMEKO LA ARDHI CHINA LAUA MAMIA JIMBONI Yunnan
Inakadiriwa zaidi ya watu 367 wamefariki huku wengine 1300 wakiwa wamejeruhiwa na tetemeko lenye ukubwa wa Richta 6.1 Kusini-Magharibi mwa China.Television ya Taifa ya China imesema hili ni tetemeko kubwa kutokea tangu miaka 14 iliyopita.
KWA HABARI ZAIDI>>>>
No comments:
Post a Comment