''VAN GAAL AKARIBISHWA KWA KIPIGO AKIWA NI BOSS WA MAN U''
Manchester united akiwa nyumbani amekubali kipigo cha 2-1 dhidi ya Swansea.
Goli la kwanza lilifungwa na Ki Sung-yueng mnamo dakika ya 28 kipindi cha kwanza,huku Rooney akisawazisha katika dakika ya 53,Huku Sigurdsson akipigilia msumari wa mwisho dk ya 72.
No comments:
Post a Comment