Sunday 3 August 2014

Liverpool wamchapa AC Milan 2-0,Huku Lambert akikosa Penati

Liverpool imeeendelea  kufanya vizuri  kwa ajili ya maandalizi ya msimu unaotarajia kuanza tarehe 16/08/2014,Joe Allen alipatia Liverpool bao la kwanza katika dakika ya 17,ambapo Suso alifunga goli la ushindi dakika za mwisho.Liverpool watakutana kwenye finali na Manchester United,Miami.

KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment