"MWENYE HIV AAMURIWA NA MAHAKAMA KUACHA KUWAAMBUKIZA WATU KWA MAKUSUDI"
Jaji wa mahakama ya Seatle nchini Marekani ameamuru kijana anaetambulika kwa jina la "AO",aache mara moja kueneza ugonjwa na kwenda kupata tiba mara moja,baada ya kuwaambukiza watu nane (8) ndani ya miaka minne (4).Ametakiwa kwenda kuwaona wataalamu wa maswala ya Ushauri ili kuwalinda wapenzi wake wengine dhidi ya maambukizi.
No comments:
Post a Comment