Wednesday 29 October 2014
Thursday 16 October 2014
"USHAWAHI KUONA MASHINDANO YA NDEVU?",ANGALIA WATU NA NDEVU ZAO NI SHEEEEDA...!!
Dunia ina mambo na vijambo,ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni,duniani watu tumezoea kuona mashabiki wa fani mbalimbali ikiwemo Mpira wa Miguu,gofu,nk.Ila mwaka huu 25/10/2014 kutakuwa na shindano maarufu la "NDEVU NA MUSTACHI",litakalofanyika Portland,Oregon.Inatarajiwa watu 3000 ''Wenye Ndevu'' kuhudhuria shindano hilo na watashindana katika vipengele mbalimbali....!!!
Tuesday 14 October 2014
"KAMA KUBUSU TU UNAFUKUZWA KAZI,JE UKILA RUSHWAAA ITAKUAJE''
Sunday 12 October 2014
"KIMBUNGA HUD HUD CHALETA MAAFA NCHINI INDIA''
Kimbunga cha Hud Hud kinaendelea kimeuvuruga ukanda wa mashariki wa India,na kusababisha uharibifu uliopelekea kuwaondoa watu 350,000 kama hatua za usalama kwa raia hao.
Hata hivyo inasemekana watu watatu wamekufa katika mji Andhra Pradesh na watatu pia katika mji wa Orissa.Kimbunga hicho kilichowekwa kwenye kundi ''Madhara sana'' kimeleta upepo uliokuwa unasafiri kwa mwendo kasi wa kilometa 205 kwa saa (205Km/h),kilivyokua kinapita pwani ya karibu na jiji la Visakhapatnam.Upepo huo mkali na mvua zimesababisha uharibifu wa miti,kukatika kwa huduma ya umeme pia uharibifu wa mazao shambani na majengo katika miji yote miwili.
KWA HABARI ZAIDI>>>
Saturday 4 October 2014
"MCHUNGAJI WA AINA HII KAA NAE CHONJO"
Hiki ni kipande cha tukio la mchungaji aliyefumaniwa hotelini na mwanadada mrembo imeleta mkanganyiko pia imepelekea sintofahamu kwa wakazi nchini Kenya.Ilirushwa katika kipindi cha taarifa ya habari ya Kenya,ilionesha mchungaji wa kanisa la Anglikana Charles Githinji akiwa amevalisha sehemu tu ya mwili wake,akiwa na msichana binti mrembo.Huku anaedaiwa kuwa na mume wa msichana mrembo akiingia na timu ya watu wa televisioni na kamera kushuhudia tukio hilo..
Friday 3 October 2014
"LIONEL MESSI KUSHTAKIWA KWA KUKWEPA KULIPA KODI"
Nyota wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina anatarajiwa kupandishwa kizimbani kwa tuhuma ya kukwepa kodi,jaji wa Nchini Hispania ametanabaisha.Messi na baba yake Jorge wanatuhumiwa kwa kukwepa kodi inayofikia Euros milioni 4.Mtu na babae wamekataa tuhuma hizo huku wakipewa siku 5 za kukata rufaa juu ya shauri hilo.
Subscribe to:
Posts (Atom)