Sunday 31 August 2014

"REAL SOCIEDAD YAMCHARAZA REAL MADRID 4 KWA 2"


Real sociedad imewakimbiza mchachaka Real maadrid kwa kuichapa jumla ya goli 4 kwa 2,Ramos alieanza kufunga katika dakika ya 5,ikifuatiwa na goli la Bale dakika ya 11,Huku Martinez akisawazishia timu yake dakika ya 35,Zurutuza dakika ya 41 na 65 huku Vela akimalizia kufunga katika dakika ya 75
KWA HABARI ZAIDI>>>

"LIVERPOOL YAUA 3 DHIDI YA TOT"




















Brendan Rogers ameiongoza timu yake kushinda dhidi ya Tottenham,huku akifikisha mechi ya 100 tangu kuanza kuwa kocha wa Liverpool ndani ya White Hart Lane.Sterling aliyefungua pazia kwa kuifungia goli la kwanza dakika ya 8,huku Gerad akifunga kwa penat katika dakika ya 49,na Moreno alimalizia kwa kufunga goli la 3.
                          KWA HABARI ZAIDI>>>

Saturday 30 August 2014

"MAN CITY WAKALISHWA ETIHAD,MAN U WASHIKWA SHATI"




















Stoke city wamefanikiwa kuwaduwaza Man city kwa kuwachapa goli moja liliwekwa kimiani na Mame Biram Diouf mnamo dakika 58 ya mchezo,Man city walifanikiwa kuduwazwa wakicheza uwanja wao wa nyumbani.Wakati huo Man u wakikaribishwa na Burnley wamelazimishwa sare ya bila kufungana.


Friday 29 August 2014

"JIONEE TIMU YAKO IMEPANGWA KUNDI GANI,HUKU LIVERPOOL IKIPANGWA NA BINGWA MTETEZI,R MADRID"




GROUPS

GROUP A

AtléticoAtlético(ESP)
JuventusJuventus(ITA)
OlympiacosOlympiacos(GRE)
MalmöMalmö(SWE)

GROUP B

Real MadridReal Madrid(ESP)
BaselBasel(SUI)
LiverpoolLiverpool(ENG)
LudogoretsLudogorets(BUL)

GROUP C

BenficaBenfica(POR)
ZenitZenit(RUS)
LeverkusenLeverkusen(GER)
MonacoMonaco(FRA)

GROUP D

ArsenalArsenal(ENG)
DortmundDortmund(GER)
GalatasarayGalatasaray(TUR)
AnderlechtAnderlecht(BEL)

GROUP E

BayernBayern(GER)
Man. CityMan. City(ENG)
CSKA MoskvaCSKA Moskva(RUS)
RomaRoma(ITA)

GROUP F

BarcelonaBarcelona(ESP)
ParisParis(FRA)
AjaxAjax(NED)
APOELAPOEL(CYP)

GROUP G

ChelseaChelsea(ENG)
SchalkeSchalke(GER)
SportingSporting(POR)
MariborMaribor(SVN)

GROUP H

PortoPorto(POR)
Shakhtar DonetskShakhtar Donetsk(UKR)
AthleticAthletic(ESP)
BATEBATE(BLR)


Tuesday 26 August 2014

"MABINTI WA UMRI WA MIAKA 5 WANAOZWA ILI KUJIKWAMUA NA UGUMU WA MAISHA"

Mmoja wa wanaume katika ndoa na binti aliye chini ya miaka 19,huu ni mfano tu wa ndoa hizo nchini Ethiopia.






















Nchini Ethiopia wazazi wanaoshindwa kuzihudumia familia zao huwaoza mabinti zao katika umri mdogo sana,hali hiyo huwapelekea vifo vya mimba za utotoni.Mwanamke mmoja anaejulikana kama Merkedes Murgeta ambaye hakumbuki hata tarehe ya ndoa yake,lakini ndugu zake wanamkumbusha kwamba aliolewa akiwa na miaka mitano (5).


Mugeta anaeishi katika kijiji cha Mosebo kilichopo mkoani Amhara katikati ya nchi ya Ethiopia.Katika eneo hili kama ilivyo kawaida kwenye maeneo mengine ya Ethiopia,ni kosa kuolewa chini ya miaka 18.Kutokana na takwimu za USAID,Amhara inatajwa kama sehemu ambapo ndoa za utotoni zimekithiri kuliko maeneo yote duniani.


"VIPAUMBELE VYA WANASIASA" 
"Nchi imeweka kipaumbele kikuu kwenye afya ya mama mjamzito na mtoto" 

Monday 25 August 2014

"BIASHARA YA NYAMA YA PANYA INAWAINUA WENGI NCHINI CAMBODIA"

Panya wanaotegwa kutoka mashamba ya mpunga,inafikiriwa kuwa ni bidhaa adimu nchini Cambodia.

Mavuno ya kipekee yanayoendelea kwenye mashamba ya mpunga nchini Cambodia ambapo makumi elfu ya panya pori wanategwa wakiwa hai  kila siku,huku wakisafirishwa kwenda nje ya nchi hiyo.


LADHA YAKE NI SAWA NA KITIMOTO

Baadhi ya watumiaji wa nyama hiyo ya panya wanasema inafanana na ladha ya nyama ya Nguruwe,maarufu kama Kitimoto kama inavyotambulika katika baadhi ya maeneo mengi ya nchini Tanzania.








Sunday 24 August 2014

"WAFUNGWA WAISHTAKI SERIKALI YA BOTSWANA KUDAI HAKI YA KUPATIWA ARV"


Mahakama kuu ya Nchini Botswana imeamuru serikali ya nchi hiyo kuwapatia dawa za kupunguza makali ya Virusi vya ukimwi,raia wote wa kigeni wanaotumikia vifungo kwa makosa mbalimbali nchini humo na gharama zote ziwe ni juu ya serikali ya  nchi hiyo.

    Hali hiyo imefuatia baada ya raia wawili wa Zimbabwe,Dickson Tapela na Mbuso Piye wanaotumikia kifungo nchini Botswana kuishtaki serikali hiyo kwa kukataa kuwapatia huduma ya dawa za kupunguza makali ya ukimwi.

Saturday 23 August 2014

"WANANCHI WANA HASIRA KWA PESA ZINAZOTUMIKA KUJENGA UWANJA WA SOKA BADALA YA KUJENGA MAKAZI"

Wananchi wana hasira na serikali yao,kwa kutumia  mabilioni ya  pesa kujenga uwanja wa soka,badala ya kujenga makazi ya wananchi

Baadhi ya wakazi 4800 wasio na makazi wametengeneza kambi karibu na uwanja wenye thamani ya Dola milioni 350,katika jiji la Sao Paulo wakidai  kujengewa nyumba.


















"UONGO KUHUSU KUPUNGUZA UMASKINI WAANIKWA"

Kampeni ya maendeleo ya Milenia imetangaza kwamba umaskini duniani umepunguzwa kwa nusu ya matarajio kuelekea 2015.

Busara zinazokuja  kutoka kila upande:Viwango vya umaskini vinapungua na umaskini uliopindukia utakomeshwa muda si mrefu.Benki ya Dunia,Serikali ya nchi Matajiri na zaid ya yote kampeni  za milenia za Umoja wa mataifa wote wanakubaliana na wazo hili.Muwe watulivu,ndivyo wanavyotuambia.


Ni hadithi ya kuliwaza,lakini kwa bahati mbaya haina ukweli.Umaskini hautokomei kwa kasi kama inavyozungumzwa.Kinyume chake,kutokana na baadhi ya vipimo,umaskini umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa sana inayotisha.




Thursday 21 August 2014

"MADAKTARI 300 WA HOSPITALI YA TAIFA YA KENYATA 'KNH' WAGOMA KUFANYA KAZI ,KISA MSHAHARA WA JULAI"

Madaktari ndani ya Hospitali ya Taifa ya Kenyata,KNH,wakianza mgomo 21/08/2014,Nje ya Ofisi ya Wizara ya Afya Wakidai Mshahara wa mwezi Julai.

Janga linainyemelea nchi ya Kenya,baada ya madaktari 314 waliosajiliwa katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta kuingia mtaani kudai mshahara wa mwezi Julai.

Aidha madaktari hao walioamua kuandamana siku hii ya leo ya Alhamisi (21/08/2014),kutoka KNH kwenda jengo la Afya kisha kuelekea Bungeni.


Wakati huo,Bungeni Dr James Nyikal,ambaye alikuwa mkurugenzi wa huduma za kitabibu ambaye ndiye Mbunge wa Seme aliitisha kikao cha dharula kuangalia namna ya kutatua kilio hicho...























"Di MARIA AMEWAAMBIA REAL MADRID ANATAKA KUONDOKA,JE YUPO TAYARI KUJIUNGA NA MAN U??''




















Winga wa Real Madrid Angel Di Maria,26 ameiambia klabu hiyo ya Hispania anataka kuondoka.Di Maria ambaye amehusishwa na uhamisho wa kwenda Manchester United,huku Van Gaal akionesha yuko makini kuhakikisha ananasa saini ya winga huyo.
KWA HABARI ZAIDI>>>

''LIVERPOOL WAKUBALI ADA YA £16M,KUMSAJILI MTUKUTU BALOTELLI''




















Liverpool imekubaliana na AC milan ili  kumsajili  aliyekua straika wa timu ya Man city,''Super Mario''  kwa ada ya paundi milion 16.Kocha wa liverpool Brendan Rogers amefanya hivyo ili kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.
KWA HABARI ZAIDI>>>

Aidha BR amesema usajili wa straika huyo  utaimarisha safu ya ushambuliaji wa timu hiyo,wakati Liverpool wakijiandaa kukutana na Man city siku ya juma tatu 25/08/2014,na straika huyo ameshawaaga mashabiki wake wa Italy.
KWA HABARI ZAIDI>>>

Sunday 17 August 2014

"LIVERPOOL YAANZA VIZURI,YAMCHAPA SOUTHMPTON 2-1"

Sturridge akishangilia bao alilofunga dakika ya 79,wakati Majogoo walivyokutana na Southmpton.

Goli alilofunga Sturridge katika dakika ya 79 limeithibitishia ushindi timu ya Liverpool ilipokua ikikwaana na Southmpton ambao ni wazi unaweza kuitwa ushindi uliopatikana kwa  ugumu wa hali ya juu.Huku Sterling akifungua pazia kwa kuifungia Liverpool dakika ya 23,bao la Southmpton likipachikwa na  Clyne dakika ya 56.
       KWA HABARI ZAIDI>>>

"Zena Dober'' Have a fantastic Happy Birthday filled with everything you love most...!!!

Zena Dober...!!,enjoy your special day..,All the best..!!
BOFYA UCHUKUE ZAWADI YAKO>>>

Saturday 16 August 2014

"SWALI NI NANI ATANYAKUA KOMBE MSIMU HUU KWENYE EPL?''





Predictor1st2nd3rd4th
Phil Neville
Chelsea
Man Utd
Man City
Arsenal
Robbie Savage
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Danny Murphy
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Mark Lawrenson
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Danny Mills
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Kevin Kilbane
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Pat Nevin
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Jacqui Oatley
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Alan Shearer
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Gabby Logan
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Jason Roberts
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Guy Mowbray
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Steve Wilson
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Alistair Mann
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Steve Bower
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Garth Crooks
Chelsea
Man City
Man Utd
Arsenal
John Murray
Chelsea
Man City
Man Utd
Arsenal
Ian Dennis
Chelsea
Arsenal
Man City
Liverpool
Alistair Bruce-Ball
Chelsea
Arsenal
Man City
Man Utd
Chris Waddle
Man City
Chelsea
Arsenal
Man Utd
Martin Keown
Man City
Chelsea
Arsenal
Man Utd
Jonathan Pearce
Man City
Chelsea
Arsenal
Liverpool
Kelly Cates
Man City
Chelsea
Arsenal
Liverpool
Les Ferdinand
Man City
Chelsea
Arsenal
Liverpool
Conor McNamara
Man City
Chelsea
Man Utd
Arsenal
Ian Wright
Man City
Arsenal
Chelsea
Man Utd
John Hartson
Man City
Arsenal
Chelsea
Liverpool
Dion Dublin
Man Utd
Chelsea
Man City
Liverpool
John Motson
Man Utd
Chelsea
Man City
Liverpool
Hivi ndivyo walivyojibu watangazaji wa BBC TV na watangazaji  wa maswala ya soka,walivyotoa utabiri wao juu ya timu gani itashika nafasi ya "Kwanza-Pili-Tatu-Nne".Hata hivyo kura nyingi zimeenda kwa Chelsea,ikifuatiwa na Man city,Arsenal huku timu za liverpool na Manchester United zikipewa nafasi finyu.