Real sociedad imewakimbiza mchachaka Real maadrid kwa kuichapa jumla ya goli 4 kwa 2,Ramos alieanza kufunga katika dakika ya 5,ikifuatiwa na goli la Bale dakika ya 11,Huku Martinez akisawazishia timu yake dakika ya 35,Zurutuza dakika ya 41 na 65 huku Vela akimalizia kufunga katika dakika ya 75
KWA HABARI ZAIDI>>>
Sunday 31 August 2014
"LIVERPOOL YAUA 3 DHIDI YA TOT"
Brendan Rogers ameiongoza timu yake kushinda dhidi ya Tottenham,huku akifikisha mechi ya 100 tangu kuanza kuwa kocha wa Liverpool ndani ya White Hart Lane.Sterling aliyefungua pazia kwa kuifungia goli la kwanza dakika ya 8,huku Gerad akifunga kwa penat katika dakika ya 49,na Moreno alimalizia kwa kufunga goli la 3.
KWA HABARI ZAIDI>>>
Saturday 30 August 2014
"MAN CITY WAKALISHWA ETIHAD,MAN U WASHIKWA SHATI"
Stoke city wamefanikiwa kuwaduwaza Man city kwa kuwachapa goli moja liliwekwa kimiani na Mame Biram Diouf mnamo dakika 58 ya mchezo,Man city walifanikiwa kuduwazwa wakicheza uwanja wao wa nyumbani.Wakati huo Man u wakikaribishwa na Burnley wamelazimishwa sare ya bila kufungana.
Friday 29 August 2014
"JIONEE TIMU YAKO IMEPANGWA KUNDI GANI,HUKU LIVERPOOL IKIPANGWA NA BINGWA MTETEZI,R MADRID"
GROUPS
GROUP A
Atlético(ESP)
Juventus(ITA)
Olympiacos(GRE)
Malmö(SWE)
GROUP B
Real Madrid(ESP)
Basel(SUI)
Liverpool(ENG)
Ludogorets(BUL)
GROUP C
Benfica(POR)
Zenit(RUS)
Leverkusen(GER)
Monaco(FRA)
GROUP D
Arsenal(ENG)
Dortmund(GER)
Galatasaray(TUR)
Anderlecht(BEL)
GROUP E
Bayern(GER)
Man. City(ENG)
CSKA Moskva(RUS)
Roma(ITA)
GROUP F
Barcelona(ESP)
Paris(FRA)
Ajax(NED)
APOEL(CYP)
GROUP G
Chelsea(ENG)
Schalke(GER)
Sporting(POR)
Maribor(SVN)
GROUP H
Porto(POR)
Shakhtar Donetsk(UKR)
Athletic(ESP)
BATE(BLR)
Tuesday 26 August 2014
"MABINTI WA UMRI WA MIAKA 5 WANAOZWA ILI KUJIKWAMUA NA UGUMU WA MAISHA"
Mmoja wa wanaume katika ndoa na binti aliye chini ya miaka 19,huu ni mfano tu wa ndoa hizo nchini Ethiopia. |
Nchini Ethiopia wazazi wanaoshindwa kuzihudumia familia zao huwaoza mabinti zao katika umri mdogo sana,hali hiyo huwapelekea vifo vya mimba za utotoni.Mwanamke mmoja anaejulikana kama Merkedes Murgeta ambaye hakumbuki hata tarehe ya ndoa yake,lakini ndugu zake wanamkumbusha kwamba aliolewa akiwa na miaka mitano (5).
Mugeta anaeishi katika kijiji cha Mosebo kilichopo mkoani Amhara katikati ya nchi ya Ethiopia.Katika eneo hili kama ilivyo kawaida kwenye maeneo mengine ya Ethiopia,ni kosa kuolewa chini ya miaka 18.Kutokana na takwimu za USAID,Amhara inatajwa kama sehemu ambapo ndoa za utotoni zimekithiri kuliko maeneo yote duniani.
"VIPAUMBELE VYA WANASIASA"
"Nchi imeweka kipaumbele kikuu kwenye afya ya mama mjamzito na mtoto"
Monday 25 August 2014
"BIASHARA YA NYAMA YA PANYA INAWAINUA WENGI NCHINI CAMBODIA"
Sunday 24 August 2014
"WAFUNGWA WAISHTAKI SERIKALI YA BOTSWANA KUDAI HAKI YA KUPATIWA ARV"
Mahakama kuu ya Nchini Botswana imeamuru serikali ya nchi hiyo kuwapatia dawa za kupunguza makali ya Virusi vya ukimwi,raia wote wa kigeni wanaotumikia vifungo kwa makosa mbalimbali nchini humo na gharama zote ziwe ni juu ya serikali ya nchi hiyo.
Hali hiyo imefuatia baada ya raia wawili wa Zimbabwe,Dickson Tapela na Mbuso Piye wanaotumikia kifungo nchini Botswana kuishtaki serikali hiyo kwa kukataa kuwapatia huduma ya dawa za kupunguza makali ya ukimwi.
Saturday 23 August 2014
"WANANCHI WANA HASIRA KWA PESA ZINAZOTUMIKA KUJENGA UWANJA WA SOKA BADALA YA KUJENGA MAKAZI"
"UONGO KUHUSU KUPUNGUZA UMASKINI WAANIKWA"
Thursday 21 August 2014
"MADAKTARI 300 WA HOSPITALI YA TAIFA YA KENYATA 'KNH' WAGOMA KUFANYA KAZI ,KISA MSHAHARA WA JULAI"
"Di MARIA AMEWAAMBIA REAL MADRID ANATAKA KUONDOKA,JE YUPO TAYARI KUJIUNGA NA MAN U??''
Winga wa Real Madrid Angel Di Maria,26 ameiambia klabu hiyo ya Hispania anataka kuondoka.Di Maria ambaye amehusishwa na uhamisho wa kwenda Manchester United,huku Van Gaal akionesha yuko makini kuhakikisha ananasa saini ya winga huyo.
KWA HABARI ZAIDI>>>
''LIVERPOOL WAKUBALI ADA YA £16M,KUMSAJILI MTUKUTU BALOTELLI''
Liverpool imekubaliana na AC milan ili kumsajili aliyekua straika wa timu ya Man city,''Super Mario'' kwa ada ya paundi milion 16.Kocha wa liverpool Brendan Rogers amefanya hivyo ili kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.
KWA HABARI ZAIDI>>>
Aidha BR amesema usajili wa straika huyo utaimarisha safu ya ushambuliaji wa timu hiyo,wakati Liverpool wakijiandaa kukutana na Man city siku ya juma tatu 25/08/2014,na straika huyo ameshawaaga mashabiki wake wa Italy.
KWA HABARI ZAIDI>>>
Sunday 17 August 2014
"LIVERPOOL YAANZA VIZURI,YAMCHAPA SOUTHMPTON 2-1"
Sturridge akishangilia bao alilofunga dakika ya 79,wakati Majogoo walivyokutana na Southmpton. |
KWA HABARI ZAIDI>>>
"Zena Dober'' Have a fantastic Happy Birthday filled with everything you love most...!!!
Zena Dober...!!,enjoy your special day..,All the best..!! |
Saturday 16 August 2014
"SWALI NI NANI ATANYAKUA KOMBE MSIMU HUU KWENYE EPL?''
Predictor | 1st | 2nd | 3rd | 4th |
---|---|---|---|---|
Phil Neville
|
Chelsea
|
Man Utd
|
Man City
|
Arsenal
|
Robbie Savage
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Danny Murphy
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Mark Lawrenson
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Danny Mills
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Kevin Kilbane
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Pat Nevin
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Jacqui Oatley
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Alan Shearer
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Gabby Logan
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Jason Roberts
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Guy Mowbray
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Steve Wilson
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Alistair Mann
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Steve Bower
|
Chelsea
|
Man City
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Garth Crooks
|
Chelsea
|
Man City
|
Man Utd
|
Arsenal
|
John Murray
|
Chelsea
|
Man City
|
Man Utd
|
Arsenal
|
Ian Dennis
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Man City
|
Liverpool
|
Alistair Bruce-Ball
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Man City
|
Man Utd
|
Chris Waddle
|
Man City
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Martin Keown
|
Man City
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Man Utd
|
Jonathan Pearce
|
Man City
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Kelly Cates
|
Man City
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Les Ferdinand
|
Man City
|
Chelsea
|
Arsenal
|
Liverpool
|
Conor McNamara
|
Man City
|
Chelsea
|
Man Utd
|
Arsenal
|
Ian Wright
|
Man City
|
Arsenal
|
Chelsea
|
Man Utd
|
John Hartson
|
Man City
|
Arsenal
|
Chelsea
|
Liverpool
|
Dion Dublin
|
Man Utd
|
Chelsea
|
Man City
|
Liverpool
|
John Motson
|
Man Utd
|
Chelsea
|
Man City
|
Liverpool
|
Subscribe to:
Posts (Atom)