Thursday 21 August 2014

"MADAKTARI 300 WA HOSPITALI YA TAIFA YA KENYATA 'KNH' WAGOMA KUFANYA KAZI ,KISA MSHAHARA WA JULAI"

Madaktari ndani ya Hospitali ya Taifa ya Kenyata,KNH,wakianza mgomo 21/08/2014,Nje ya Ofisi ya Wizara ya Afya Wakidai Mshahara wa mwezi Julai.

Janga linainyemelea nchi ya Kenya,baada ya madaktari 314 waliosajiliwa katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta kuingia mtaani kudai mshahara wa mwezi Julai.

Aidha madaktari hao walioamua kuandamana siku hii ya leo ya Alhamisi (21/08/2014),kutoka KNH kwenda jengo la Afya kisha kuelekea Bungeni.


Wakati huo,Bungeni Dr James Nyikal,ambaye alikuwa mkurugenzi wa huduma za kitabibu ambaye ndiye Mbunge wa Seme aliitisha kikao cha dharula kuangalia namna ya kutatua kilio hicho...























No comments:

Post a Comment