Thursday 21 August 2014

"Di MARIA AMEWAAMBIA REAL MADRID ANATAKA KUONDOKA,JE YUPO TAYARI KUJIUNGA NA MAN U??''




















Winga wa Real Madrid Angel Di Maria,26 ameiambia klabu hiyo ya Hispania anataka kuondoka.Di Maria ambaye amehusishwa na uhamisho wa kwenda Manchester United,huku Van Gaal akionesha yuko makini kuhakikisha ananasa saini ya winga huyo.
KWA HABARI ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment