Wednesday 3 September 2014

"HII INAUMA,JAMAA WAKUTWA HAWANA HATIA BAADA YA KUFUNGWA JELA KWA MIAKA 30"


Vipimo vya vinasaba vilionesha ndugu hao wawili,ambao wana matatizo ya akili pia walikua ni vijana wadogo chini ya umri wa miaka 20,walioingia hatiani kimakosa tangu 1983.Wawili hao waliachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka 30 ikiwa ni sawa na Miongo mitatu,jela kwa kesi ya Ubakaji na Mauaji ya binti wa miaka 11 baada ya ushahidi kuwekwa wazi kupitia vipimo vya vinasaba.Machungu na manung'uniko yao hayatakwisha kamwe.




No comments:

Post a Comment