Saturday 4 October 2014

"MCHUNGAJI WA AINA HII KAA NAE CHONJO"






















Hiki ni kipande cha tukio la mchungaji aliyefumaniwa hotelini na mwanadada mrembo imeleta mkanganyiko pia imepelekea sintofahamu kwa wakazi nchini Kenya.Ilirushwa katika kipindi cha taarifa ya habari ya Kenya,ilionesha mchungaji wa  kanisa la Anglikana Charles Githinji akiwa amevalisha sehemu tu ya mwili wake,akiwa na msichana binti mrembo.Huku anaedaiwa kuwa na mume wa msichana mrembo akiingia na timu ya watu wa televisioni na kamera kushuhudia tukio hilo..

No comments:

Post a Comment