Saturday 15 November 2014

"MTOTO WA MIAKA 5 AFAULU MTIHANI WA MICROSOFT"


Mtoto huyo anaetokea Coventry amekua ndiye mtu mwenye umri mdogo sana kuwa na ujuzi wa maswala ya Computer duniani.Mtoto huyo anaekwenda kwa jina la Ayan Qureshi sasa ni Microsoft Certified Proffessional (MCP) baada ya kufaulu mtihani wa kiufundi unaotungwa na na kuratibiwa na Microsoft akiwa na umri wa miaka mitano (5) tu.

        Ayan ambae kwa sasa ana miaka 6,baba yake ni mtaalamu na mshauri kwenye maswala ya teknolojia,ametengeneza mtandao wa komputa nyumbani.