Saturday 6 September 2014

"WALIOFUNGWA KIMAKOSA KUTOKANA NA KESI YA UBAKAJI WAFIDIWA DOLA ZA KIMAREKANI MILION 41"


Jaji wa mahakama ya rufaa ya  ameamuru malipo ya Dola za kimarekani milioni arobaini na moja ($41) Kutoka Jiji la New York kulipwa kwa vijana watano waliotumikia kifungo cha miaka 30 jela  kimakosa baada ya kushtakiwa kwa kosa la ubakaji mwaka 1989.Malipo hayo ni fidia kwa wahanga au kuwafuta machozi, baada ya mwaka 2002 mtuhumiwa aliyetenda kosa hilo kukiri makosa hayo.


No comments:

Post a Comment