Saturday 30 August 2014

"MAN CITY WAKALISHWA ETIHAD,MAN U WASHIKWA SHATI"




















Stoke city wamefanikiwa kuwaduwaza Man city kwa kuwachapa goli moja liliwekwa kimiani na Mame Biram Diouf mnamo dakika 58 ya mchezo,Man city walifanikiwa kuduwazwa wakicheza uwanja wao wa nyumbani.Wakati huo Man u wakikaribishwa na Burnley wamelazimishwa sare ya bila kufungana.


No comments:

Post a Comment