Tuesday 30 September 2014

" EBOLA YAINGIA USA"






















Kesi ya kwanza ya Ebola imethibitishwa ndani ya ardhi ya Marekani,Dallas- Texas.Maofisa katika hospitali ya Dallas wamesema mgonjwa huyo ambae hakutajwa jina wamemtenga ili kuendelea kumhudumia kwa umakini na ukaribu wa hali ya juu.Inasemekana mgonjwa huyo alipata maambukizi hayo akiwa nchini Liberia kabla dalili hazijaanza kujitokeza.
KWA HABARI ZAIDI>>>

No comments:

Post a Comment