Thursday 4 September 2014

"ABIRIA KADHAA WAHOFIWA KUFA BAADA YA BASI KUSOMBWA NA MAFURIKO"


Takribani abiria 70 wanahofiwa kufa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko katika jimbo la Kashmir,inaripotiwa.Ajali hiyo iliyotokea Alhamisi Kusini mwa Wilaya ya Rajouri katika ukanda wa Himalaya ambapo imekumbwa na mafuriko makali tangu miaka 22.

No comments:

Post a Comment