Sunday 28 September 2014

"MESSI AFIKISHA MAGOLI 401 KWA TIMU YAKE YA BARCELONA NA ARGENTINA"




















Mshambuliaji mahiri wa Barcelona Lionel Messi,ambaye pia ni mchezaji bora wa dunia kwa  mara ya nne amefikisha magoli 401,katika mechi yao iliyoshudia Granada wakichakazwa goli 6 bila majibu.Messi alisema''hakutarajia kama angeweza kufikia mafanikio ya namna hii''.

No comments:

Post a Comment