Saturday 20 September 2014

"REAL MADRID YAUA 8,HUKU CR7 AKIPIGA HAT-TRICK",LIVERPOOL NAYO YACHEZESHWA KWATA NA WESTHAM,WHU 3-1 LFC"
















Cristiano Rolnado leo ameifungia timu yake magoli matatu huku vigogo hao wa soka wa hispania wakishinda goli 8 ugenini dhidi ya timu ya Deportivo La Coruna ambao walijipatia ushindi wa goli 2,CR ametia nyavuni dakika ya 29,48 na 78,James Rodriguez ameifungia timu yake dakika ya 36,Gareth Balle nae akifanikiwa kufumania nyavu mara 2,katika dakika ya 66 na 74,wakati huo Chicharito akifanikiwa kufumania nyavu mara mbili katika dakika ya 88.


Nao majogoo wa London wanaendelea kuchechemea kwa kukubali kichapo cha goli 3 dhidi ya West Ham United huku Liverpool wakifanikiwa kupata goli moja kupitia kwa mchezaji Sterling.Mambo yalionekana kuwaendea kombo dakika ya kwanza tu ya mchezo.Goli la Reid na Diafro Sakho yaliwapa nguvu West ham kumiliki sehemu kubwa ya  mchezo.




No comments:

Post a Comment