Friday 19 September 2014

"KUTANA NA BABA WA WATOTO 26 'ANAEHUBIRI' KUHUSU UZAZI WA MPANGO"


























Katika nchi nyingi,ni  kawaida kwa mwanamke hasa maeneo ya vijijini kufanya kazi zaidi ya waume zao,ilhali wanaume wanapata muda mwingi wa kupumzika.Kutokana na uzoefu wa Kouayou almaarufu "Nabii".Anasema "Kwa utamaduni wetu,jinsi unavyopata watoto wengi,ndivyo unavyokua tajiri na mwenye ufahari nami nimeweka rekodi hiyo kijijini kwangu".


No comments:

Post a Comment