Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeweka bayana kwamba wengi wanakufa kutokana na ukatili wa nyumbani kuliko wanavyokufa kwenye uwanja wa mapambano,inayopelekea mamilioni kupotea kutokana na vifo hivyo vinavyosababishwa na ukatili majumbani.
Ripoti hiyo inaendelea kuweka bayana kwamba Ukatili majumbani hasa unaowalenga Wanawake na Watoto,unauwa watu wengi kuliko athari halisi zinazotokana na Vita hiyo,inayogharimu dunia Dola Trilioni 8 kwa mwaka.....!!!
KWA HABARI ZAIDI>>>
No comments:
Post a Comment