Saturday 13 September 2014

"ATLETICO MADRID WAENDELEZA UBABE KWA REAL MADRID, HUKU NEYMAR AKITUPIA 2''






















Watemi wa soka nchini Hispania wamekubali kichapo cha goli 2-1,dhidi ya wapinzani wao Atletico Madrid,wababe hao waliopata  goli kupitia kwa Cristiano Ronaldo aliefunga kwa penat Dakika ya 26,Magoli ya Atletico Madrid yamefungwa na Tiago katika dakika ya 10 huku la ushindi likifungwa na Turan katika dakika ya 76.

KWA HABARI ZAIDI>>>

NDANI YA NOU CAMP
Neymar aamsha mashabiki wake mara mbili,Neymar aliyetokea Benchi alifanikiwa kufunga magoli 
mawili,katika dakika ya 79 na 84,wakicheza na timu iliionesha ushindani mzito Athletic Bilbao





















KWA HABARI ZAIDI>>>



No comments:

Post a Comment