Sunday 21 September 2014

"VAN GAAL ASHANGAZWA NA KICHAPO CHA GOLI 5 DHIDI YA LEICESTER 5-3 MAN U"






















Leicester city waliotokea nyuma wakiwa wamefungwa goli 3-1,wameibuka kidedea leo dhidi ya Manchester United.Man U walipata pigo baada ya mchezaji wao Blackett kupewa kadi nyekundu.Kwa upande wa Man u pazia la magoli lilifunguliwa na RVP dakika ya 13,Di Maria dakika ya 16,Herrera 57,Kwa upande wa wenyeji magoli yao yalifungwa na Ulloa (17 na dakika ya 83 (penati),Nugent dakika ya 62 (kwa penati).Cambiasso 64 na Vardy dak ya 79.

No comments:

Post a Comment