Friday 5 September 2014

"SHIRIKA LA AFYA DUNIANI LASHAURI KUTUMIA DAMU ZA WALIOPONA EBOLA KUTIBU EBOLA"

Damu iliyotoka kwa watu waliopona Ebola yaweza kutumika ili kutibu wagonjwa wa Ebola...!!

Ule usemi wa dawa  ya moto ni moto unaotumiwa sana na waswahili nadhani unaweza ukakubaliana na hili tamko lilitolewa na Shirika la afya duniani ya WHO limetangaza kwamba "Damu za watu waliopona kutokana na maambukizi ya Ebola inapaswa itumike kuwatibu wagonjwa wapya walioathiriwa na ugonjwa huo".

Afrika Magharibi ndiyo imepata madhara makubwa tangu ugonjwa huo uanze kuenea katika ukanda huu zaidi ya watu 2000 wameshapoteza maisha.























No comments:

Post a Comment