Friday 19 September 2014

" WALIOKUFA KARNE 7 ZILIZOPITA WAKUTWA "WAMESHIKANA MIKONO ''






















Dunia ina mambo hata kifo kimeshindwa kuwatenganisha hawa wanaosadikiwa kufa miaka 700 iliyopita baada ya timu ya mambo ya kale kugundua uwepo wa kaburi hilo katika mji wa Leicester,walikuta wawili hao wakiwa wameshikana mikono.

No comments:

Post a Comment