Diego Costa amefanikiwa kupiga goli zake 3 ndani ya mechi moja yaani ''hat-trick'' ,magoli hayo yamefungwa katika dakika ya 45,56,na 67 huku Loic Remy akifunga pazia kwa kufunga bao la 4 dakika ya 81.Huu ni ushindi wa 4 mfululizo hiyo inaendelea kuwathibitishia ushindi wa 100% tangu kuanza kwa ligi hiyo.Huku magoli ya Swansea yakifungwa na Terry dakika ya 11,na Shelvey 86.
KWA HABARI ZAIDI>>NDANI YA ANFIELD MAMBO SI SHWARI
Liverpool nao wameteleza kwa kukubali kuchapwa goli moja,wakiwa ndani ya uwanja wao wa Anfield walipofungwa goli la mapema katika dakika ya 9 lililofungwa na Gabriel Agbonlahor,ambao ushindi huo umeipeleka Aston Villa kwenye nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi.
No comments:
Post a Comment