Friday 3 October 2014

"LIONEL MESSI KUSHTAKIWA KWA KUKWEPA KULIPA KODI"



























Nyota wa Barcelona na timu ya taifa ya Argentina anatarajiwa kupandishwa kizimbani kwa tuhuma ya kukwepa kodi,jaji wa Nchini Hispania ametanabaisha.Messi na baba yake Jorge wanatuhumiwa kwa kukwepa kodi inayofikia Euros milioni 4.Mtu na babae wamekataa tuhuma hizo huku wakipewa siku 5 za kukata rufaa juu ya shauri hilo.

No comments:

Post a Comment