Thursday 31 July 2014

Watu 6,740 kuwania nafasi 47 za kazi TBS

Usaili huo unataka kufanana na ule wa Idara ya Uhamiaji ambao ulihusisha waombaji 10,000 waliokuwa wakiwania nafasi 70, utafanyika leo na kesho katika Ukumbi wa Yombo wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam
FUATILIA HAPA

No comments:

Post a Comment