Maradona kama mojawapo ya mtu anayeheshimika kwenye soka katika nchi yake ya Argentina na ulimwengu mzima,amesema Messi hakustahili tuzo ya Mpira wa dhahabu inayojulikana kama ''Golden Ball Award''.Messi,27 alitajwa kama mchezaji bora wa mashindano ingawa walifungwa na Ujerumani 1-0 katika fainali zilizofanyika Jumapili uwanja wa Maracana.
No comments:
Post a Comment