Tuesday 22 July 2014

''MAPAPAI YAMENIPATIA KILA NINACHOMILIKI''


Jina langu ni  Nelson Ssemwogerere,mkazi wa kijiji cha Walubira,Wilaya ya Mukono.Mimi ni mfanya biashara wa Papai na Nanasi.Nimekuwa nikilima haya mazao mawili kwa muda wa miaka 10.Lakini kabla sijaingia kwenye kazi hii nilikua nalima Kahawa kama zao kuu la kuniingizia kipato.Lakini baada ya miche yangu ya Kahawa kuharibiwa na magonjwa,nikawa najiuliza ni zao lipi litalopandwa kuchukua nafasi ya Kahawa.Kuharibiwa kwa bustani yangu kulileta masumbuko kwa sababu ilikua ndio chanzo changu kikuu cha pesa.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment