Luis Suarez ni mchezaji wa Barcelona kwa 100%,Barcelona wamethibitisha hilo.Kwa uhamisho wa paund milion 75 kwa makubaliano yaliyofanyika wiki iliyopita.Hata hivyo Barcelona hawataweza kumuonesha mchezaji huyo mbele ya mashabiki wa timu hiyo kama ilivyo desturi yao,kutokana na Suarez 27 kutumikia adhabu ya miezi minne kutojihusisha na shughuli zozote zinazohusiana na kandanda kwa kosa la kumng'ata beki wa Italy Giorgio Chiellini,wakati wa Fainali za kombe la dunia 2014.
INGIA HAPA KWA HABARI ZAIDI
No comments:
Post a Comment