Saturday 12 July 2014

HUYU NDIYE REFARII ATAKAECHEZESHA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA MWAKA 2014

Nicola RizzoliNicola Rizzoli

REFA MUITALIANO NICOLA RIZZOLI NDIYE REFARII ALIYECHAGULIWA NA FIFA KUICHEZESHA FAINALI YA KOMBE LA DUNIA YA MWAKA 2014 KATI YA GERMANY NA ARGENTINA ITAKAYOFANYIKA SIKU YA JUMAPILI YA TAREHE 13 MWEZI JULAI.

REFARII HUYO MWEYE UMRI WA MIAKA 42 PIA ALIWEZA KUCHEZESHA MECHI KATI YA HISPANIA NA UHOLANZI, NIGERIA NA ARGENTINA NA PIA ALICHEZESHA MECHI KATI YA ARGENTINA NA UBELGIJI KATIKA FAINALI HIZI ZA KOMBE LA DUNIA 2014.

FAINALI HIYO ITACHEZWA JUMAPILI SAA 4 USIKU KATIKA KIWANJA CHA MARACANA JIJINI RIO DE JANEIRO NCHINI BRAZIL.




No comments:

Post a Comment