Lazar Markovic mwenye umri wa miaka 20,anaefanyiwa vipimo ndani ya klabu ya liverpool wanapokaribia kumsaini winga Mserbia anaechezea klabu ya Benfica.Ada ya uhamisho inakadiriwa kufikia paundi milioni 20.
Wakati huo huo klabu ya liverpool inasubiri uamuzi wa straika wa Lille Divock Origi,mwenye umri wa miaka 19.
Cdhani kama ataleta shida huyu
ReplyDelete