Monday 14 July 2014

LIVERPOOL :BADO KIDOGO KUNASA SAINI YA LAZAR MARKOVIC

Lazar Markovic mwenye umri wa miaka 20,anaefanyiwa vipimo ndani ya klabu ya liverpool wanapokaribia kumsaini winga Mserbia anaechezea klabu ya Benfica.Ada  ya uhamisho inakadiriwa kufikia  paundi milioni 20.
    Wakati huo huo klabu ya liverpool inasubiri uamuzi wa straika wa Lille Divock Origi,mwenye umri wa miaka 19.

            Lazar Markovic

1 comment: