Saturday, 23 August 2014

"UONGO KUHUSU KUPUNGUZA UMASKINI WAANIKWA"

Kampeni ya maendeleo ya Milenia imetangaza kwamba umaskini duniani umepunguzwa kwa nusu ya matarajio kuelekea 2015.

Busara zinazokuja  kutoka kila upande:Viwango vya umaskini vinapungua na umaskini uliopindukia utakomeshwa muda si mrefu.Benki ya Dunia,Serikali ya nchi Matajiri na zaid ya yote kampeni  za milenia za Umoja wa mataifa wote wanakubaliana na wazo hili.Muwe watulivu,ndivyo wanavyotuambia.


Ni hadithi ya kuliwaza,lakini kwa bahati mbaya haina ukweli.Umaskini hautokomei kwa kasi kama inavyozungumzwa.Kinyume chake,kutokana na baadhi ya vipimo,umaskini umekuwa ukiongezeka kwa kasi kubwa sana inayotisha.




Thursday, 21 August 2014

"MADAKTARI 300 WA HOSPITALI YA TAIFA YA KENYATA 'KNH' WAGOMA KUFANYA KAZI ,KISA MSHAHARA WA JULAI"

Madaktari ndani ya Hospitali ya Taifa ya Kenyata,KNH,wakianza mgomo 21/08/2014,Nje ya Ofisi ya Wizara ya Afya Wakidai Mshahara wa mwezi Julai.

Janga linainyemelea nchi ya Kenya,baada ya madaktari 314 waliosajiliwa katika hospitali ya Taifa ya Kenyatta kuingia mtaani kudai mshahara wa mwezi Julai.

Aidha madaktari hao walioamua kuandamana siku hii ya leo ya Alhamisi (21/08/2014),kutoka KNH kwenda jengo la Afya kisha kuelekea Bungeni.


Wakati huo,Bungeni Dr James Nyikal,ambaye alikuwa mkurugenzi wa huduma za kitabibu ambaye ndiye Mbunge wa Seme aliitisha kikao cha dharula kuangalia namna ya kutatua kilio hicho...























"Di MARIA AMEWAAMBIA REAL MADRID ANATAKA KUONDOKA,JE YUPO TAYARI KUJIUNGA NA MAN U??''




















Winga wa Real Madrid Angel Di Maria,26 ameiambia klabu hiyo ya Hispania anataka kuondoka.Di Maria ambaye amehusishwa na uhamisho wa kwenda Manchester United,huku Van Gaal akionesha yuko makini kuhakikisha ananasa saini ya winga huyo.
KWA HABARI ZAIDI>>>

''LIVERPOOL WAKUBALI ADA YA £16M,KUMSAJILI MTUKUTU BALOTELLI''




















Liverpool imekubaliana na AC milan ili  kumsajili  aliyekua straika wa timu ya Man city,''Super Mario''  kwa ada ya paundi milion 16.Kocha wa liverpool Brendan Rogers amefanya hivyo ili kuimarisha safu yake ya ushambuliaji.
KWA HABARI ZAIDI>>>

Aidha BR amesema usajili wa straika huyo  utaimarisha safu ya ushambuliaji wa timu hiyo,wakati Liverpool wakijiandaa kukutana na Man city siku ya juma tatu 25/08/2014,na straika huyo ameshawaaga mashabiki wake wa Italy.
KWA HABARI ZAIDI>>>

Sunday, 17 August 2014

"LIVERPOOL YAANZA VIZURI,YAMCHAPA SOUTHMPTON 2-1"

Sturridge akishangilia bao alilofunga dakika ya 79,wakati Majogoo walivyokutana na Southmpton.

Goli alilofunga Sturridge katika dakika ya 79 limeithibitishia ushindi timu ya Liverpool ilipokua ikikwaana na Southmpton ambao ni wazi unaweza kuitwa ushindi uliopatikana kwa  ugumu wa hali ya juu.Huku Sterling akifungua pazia kwa kuifungia Liverpool dakika ya 23,bao la Southmpton likipachikwa na  Clyne dakika ya 56.
       KWA HABARI ZAIDI>>>

"Zena Dober'' Have a fantastic Happy Birthday filled with everything you love most...!!!

Zena Dober...!!,enjoy your special day..,All the best..!!
BOFYA UCHUKUE ZAWADI YAKO>>>

Saturday, 16 August 2014

"SWALI NI NANI ATANYAKUA KOMBE MSIMU HUU KWENYE EPL?''





Predictor1st2nd3rd4th
Phil Neville
Chelsea
Man Utd
Man City
Arsenal
Robbie Savage
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Danny Murphy
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Mark Lawrenson
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Danny Mills
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Kevin Kilbane
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Pat Nevin
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Jacqui Oatley
Chelsea
Man City
Arsenal
Liverpool
Alan Shearer
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Gabby Logan
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Jason Roberts
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Guy Mowbray
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Steve Wilson
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Alistair Mann
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Steve Bower
Chelsea
Man City
Arsenal
Man Utd
Garth Crooks
Chelsea
Man City
Man Utd
Arsenal
John Murray
Chelsea
Man City
Man Utd
Arsenal
Ian Dennis
Chelsea
Arsenal
Man City
Liverpool
Alistair Bruce-Ball
Chelsea
Arsenal
Man City
Man Utd
Chris Waddle
Man City
Chelsea
Arsenal
Man Utd
Martin Keown
Man City
Chelsea
Arsenal
Man Utd
Jonathan Pearce
Man City
Chelsea
Arsenal
Liverpool
Kelly Cates
Man City
Chelsea
Arsenal
Liverpool
Les Ferdinand
Man City
Chelsea
Arsenal
Liverpool
Conor McNamara
Man City
Chelsea
Man Utd
Arsenal
Ian Wright
Man City
Arsenal
Chelsea
Man Utd
John Hartson
Man City
Arsenal
Chelsea
Liverpool
Dion Dublin
Man Utd
Chelsea
Man City
Liverpool
John Motson
Man Utd
Chelsea
Man City
Liverpool
Hivi ndivyo walivyojibu watangazaji wa BBC TV na watangazaji  wa maswala ya soka,walivyotoa utabiri wao juu ya timu gani itashika nafasi ya "Kwanza-Pili-Tatu-Nne".Hata hivyo kura nyingi zimeenda kwa Chelsea,ikifuatiwa na Man city,Arsenal huku timu za liverpool na Manchester United zikipewa nafasi finyu.