Wednesday 29 October 2014

"KUTANA NA KIJANA ANAYETENGENEZA MAMILIONI YA PESA KWA KUSAFISHA VIATU"






















Haijalishi ni aina gani ya viatu gani unavaa katika mkutano muhimu wa biashara swala kubwa la msingi ni viwe vinang'aa na vyenye mvuto.Picha juu hapo inaonesha kijana aliyekuwa maarufu kwa uuzaji wa Mayai akifanya kazi yake ya 'Shoe Shiner'.Kijana huyo anaekwenda kwa jina la Lere Mgayiya anasema wana kampuni kubwa ya kusafisha viatu kwa Afrika nzima,"Wakiwa ndani ya Johansburg wanasafisha pea 350 kwa siku ,Pea 120 Capetown,na 120 zingine kutoka Durban.Kampuni yake imeajiri wafanyakazi 45 ambao kwa sasa wametawanyika kwenye Viwanja vya ndege vitatu.Hadi sasa ana utajiri wa Randi Milioni 2.5 sawa na Dola 227,000 kwa kazi hiyo....

No comments:

Post a Comment