Friday, 5 September 2014

"KATIKA KARNE YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA,MAJI NI ANASA NA SIO HITAJI LA MUHIMU LA BINADAMU"

Baada ya miaka 30 ya njaa iliyokithiri nchini Ethiopia,bado upatikanaji wa maji ni wa mashaka hasa ukizingatia umuhimu weneyewe wa maji kwa binadamu kama usemi maarufu usemao maarufu ''MAJI NI UHAI''.Ikiwa asilimia 52 ya watu wote inapata huduma bora za maji lakini,asilimia 10 pekee ndio waliounganishiwa bomba hadi majumbani mwao.Katika maeneo ya vijijini ni asilimia 1 tu  iliyounganishwa na huduma hii muhimu katika maisha ya binadamu..


KWA HABARI ZAIDI>>>

Hii ina maana kubwa sana.Kwa nchi ambayo uchumi wake unategemea Kilimo,upungufu wa maji hauathiri Uchumi pekee bali  unaathiri maisha ya kila siku ya wakazi hawa ambao kujikimu kwao kunategemea mavuno ya kila msimu.Mara nyingi nchi maskini kama ya Ethiopia,yenye wakazi wengi,inakumbwa sana na janga la kukosekana kwa huduma ya maji.


Kuna mambo mengi yanayochangia ukosefu wa maji safi na salama,kuanzia uharibifu wa Mazingira unaosababishwa na ukataji ovyo wa miti,majanga ya kiasili kama Mafuriko na mabadiliko ya tabia nchi....!!!


Thursday, 4 September 2014

"ABIRIA KADHAA WAHOFIWA KUFA BAADA YA BASI KUSOMBWA NA MAFURIKO"


Takribani abiria 70 wanahofiwa kufa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kusombwa na mafuriko katika jimbo la Kashmir,inaripotiwa.Ajali hiyo iliyotokea Alhamisi Kusini mwa Wilaya ya Rajouri katika ukanda wa Himalaya ambapo imekumbwa na mafuriko makali tangu miaka 22.

Wednesday, 3 September 2014

"HII INAUMA,JAMAA WAKUTWA HAWANA HATIA BAADA YA KUFUNGWA JELA KWA MIAKA 30"


Vipimo vya vinasaba vilionesha ndugu hao wawili,ambao wana matatizo ya akili pia walikua ni vijana wadogo chini ya umri wa miaka 20,walioingia hatiani kimakosa tangu 1983.Wawili hao waliachiwa huru baada ya kutumikia kifungo cha miaka 30 ikiwa ni sawa na Miongo mitatu,jela kwa kesi ya Ubakaji na Mauaji ya binti wa miaka 11 baada ya ushahidi kuwekwa wazi kupitia vipimo vya vinasaba.Machungu na manung'uniko yao hayatakwisha kamwe.




Sunday, 31 August 2014

"REAL SOCIEDAD YAMCHARAZA REAL MADRID 4 KWA 2"


Real sociedad imewakimbiza mchachaka Real maadrid kwa kuichapa jumla ya goli 4 kwa 2,Ramos alieanza kufunga katika dakika ya 5,ikifuatiwa na goli la Bale dakika ya 11,Huku Martinez akisawazishia timu yake dakika ya 35,Zurutuza dakika ya 41 na 65 huku Vela akimalizia kufunga katika dakika ya 75
KWA HABARI ZAIDI>>>

"LIVERPOOL YAUA 3 DHIDI YA TOT"




















Brendan Rogers ameiongoza timu yake kushinda dhidi ya Tottenham,huku akifikisha mechi ya 100 tangu kuanza kuwa kocha wa Liverpool ndani ya White Hart Lane.Sterling aliyefungua pazia kwa kuifungia goli la kwanza dakika ya 8,huku Gerad akifunga kwa penat katika dakika ya 49,na Moreno alimalizia kwa kufunga goli la 3.
                          KWA HABARI ZAIDI>>>

Saturday, 30 August 2014

"MAN CITY WAKALISHWA ETIHAD,MAN U WASHIKWA SHATI"




















Stoke city wamefanikiwa kuwaduwaza Man city kwa kuwachapa goli moja liliwekwa kimiani na Mame Biram Diouf mnamo dakika 58 ya mchezo,Man city walifanikiwa kuduwazwa wakicheza uwanja wao wa nyumbani.Wakati huo Man u wakikaribishwa na Burnley wamelazimishwa sare ya bila kufungana.


Friday, 29 August 2014

"JIONEE TIMU YAKO IMEPANGWA KUNDI GANI,HUKU LIVERPOOL IKIPANGWA NA BINGWA MTETEZI,R MADRID"




GROUPS

GROUP A

AtléticoAtlético(ESP)
JuventusJuventus(ITA)
OlympiacosOlympiacos(GRE)
MalmöMalmö(SWE)

GROUP B

Real MadridReal Madrid(ESP)
BaselBasel(SUI)
LiverpoolLiverpool(ENG)
LudogoretsLudogorets(BUL)

GROUP C

BenficaBenfica(POR)
ZenitZenit(RUS)
LeverkusenLeverkusen(GER)
MonacoMonaco(FRA)

GROUP D

ArsenalArsenal(ENG)
DortmundDortmund(GER)
GalatasarayGalatasaray(TUR)
AnderlechtAnderlecht(BEL)

GROUP E

BayernBayern(GER)
Man. CityMan. City(ENG)
CSKA MoskvaCSKA Moskva(RUS)
RomaRoma(ITA)

GROUP F

BarcelonaBarcelona(ESP)
ParisParis(FRA)
AjaxAjax(NED)
APOELAPOEL(CYP)

GROUP G

ChelseaChelsea(ENG)
SchalkeSchalke(GER)
SportingSporting(POR)
MariborMaribor(SVN)

GROUP H

PortoPorto(POR)
Shakhtar DonetskShakhtar Donetsk(UKR)
AthleticAthletic(ESP)
BATEBATE(BLR)