Pages
▼
Pages
▼
Wednesday, 29 October 2014
Thursday, 16 October 2014
"USHAWAHI KUONA MASHINDANO YA NDEVU?",ANGALIA WATU NA NDEVU ZAO NI SHEEEEDA...!!
Dunia ina mambo na vijambo,ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni,duniani watu tumezoea kuona mashabiki wa fani mbalimbali ikiwemo Mpira wa Miguu,gofu,nk.Ila mwaka huu 25/10/2014 kutakuwa na shindano maarufu la "NDEVU NA MUSTACHI",litakalofanyika Portland,Oregon.Inatarajiwa watu 3000 ''Wenye Ndevu'' kuhudhuria shindano hilo na watashindana katika vipengele mbalimbali....!!!
Tuesday, 14 October 2014
"KAMA KUBUSU TU UNAFUKUZWA KAZI,JE UKILA RUSHWAAA ITAKUAJE''
Sunday, 12 October 2014
"KIMBUNGA HUD HUD CHALETA MAAFA NCHINI INDIA''
Kimbunga cha Hud Hud kinaendelea kimeuvuruga ukanda wa mashariki wa India,na kusababisha uharibifu uliopelekea kuwaondoa watu 350,000 kama hatua za usalama kwa raia hao.
Hata hivyo inasemekana watu watatu wamekufa katika mji Andhra Pradesh na watatu pia katika mji wa Orissa.Kimbunga hicho kilichowekwa kwenye kundi ''Madhara sana'' kimeleta upepo uliokuwa unasafiri kwa mwendo kasi wa kilometa 205 kwa saa (205Km/h),kilivyokua kinapita pwani ya karibu na jiji la Visakhapatnam.Upepo huo mkali na mvua zimesababisha uharibifu wa miti,kukatika kwa huduma ya umeme pia uharibifu wa mazao shambani na majengo katika miji yote miwili.
KWA HABARI ZAIDI>>>